Tangaza nasi DvJGaby.Blogspot,com

Tangaza nasi DvJGaby.Blogspot,com

Friday, 29 January 2016

PICHA: SAMATTA ATAMBULISHWA RASMI GENK

Samatta amepewa jezji yenye namba 77 mgongoni
Samatta amepewa jezji yenye namba 77 mgongoni
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na mchezaji bora wa ndani wa Afrika Mbwana Samatta leo ametambulishwa rasmi na ameshakabidhiwa jezi na klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji kwa ajili ya kuanza majumu mapya ya kutupia wavuni akiwa na klabu hiyo.
Mbwana Samatta akitambulishwa rasmi mbele ya waandishi wa habari
Mbwana Samatta akitambulishwa rasmi mbele ya waandishi wa habari
Kwa mujibu wa mtandao wa klabu ya Genk, Samatta amesaini mkataba unaomalizika msimu wa mwaka 2019-2020.
IMG-20160129-WA0035
Samatta amejiunga na Genk akitokea TP Mazembe ambapo alicheza kwa miaka mitano (5) tangu mwaka 2011 alipojiunga na klabu hiyo akitokea klabu ya Simba SC hadi mwaka 2015.
Samatta akiwa kwenye press conference akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu ajiunge na klabu hiyo
Samatta akiwa kwenye press conference akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza baada ya kujiunga na klabu ya Genk
Mkataba wa Samatta na Mazembe ulikuwa unamalizika mwezi April mwaka huu lakini tayari amesaini mkaba mpya na klabu hiyo ya barani Ulaya.
Samatta kwenye picha ya pamoja na moja ya viongozi wa Genk
Samatta kwenye picha ya pamoja na moja ya viongozi wa Genk
Angalia picha zaidi za Samatta wakati akitambulishwa rasmi mbele ya waandishi wa habari.IMG-20160129-WA0029
Samatta kwenye picha ya pamoja na moja ya viongozi wa Genk
Samatta kwenye picha ya pamoja na moja ya viongozi wa Genk
Viongozi wa klabu ya Genk wakimkabidhi Samatta jezi ya klabu hiyo tayari kwa majukumu mapya
Viongozi wa klabu ya Genk wakimkabidhi Samatta jezi ya klabu hiyo tayari kwa majukumu mapya
Samatta akiwa kwenye press conference akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu ajiunge na klabu hiyo
Samatta akiwa kwenye press conference akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu ajiunge na klabu hiyo
IMG-20160129-WA0035
Picha ya X-ray inayoonesha mguu wa Samatta wakati akifanyiwa vipimo na kufanikiwa kufaulu vizuri
Picha ya X-ray inayoonesha mguu wa kushoto wa Samatta wakati akifanyiwa vipimo na kufanikiwa kufaulu vizuri

Thursday, 17 December 2015

OFFICIAL: CHELSEA YAMTIMUA MOURINHO


Mo 6
Club ya Chelea imemtimua kocha wake Jose Mourinho ikiwa ni mezi saba tu tangu kocha huyo akiongoze kikosi cha The Blues kutwaa ubingwa wa ligi ya England maarufu kama EPL
Mourinho, 52, anakuwa amefukuzwa kwa mara ya pili kwenye klabu ya Chelsea baada ya kurejea klabuni hapo mwaka 2013.
Chelsea ilimaliza pointi nane mbele ya timu iliyokuwa ikifutia nafasi ya pili (Manchester City) msimu uliopita na kushinda ubingwawa ligi lakini tayari imeshapoteza michezo tisa ya ligi kati ya 16 hadi sasa huku ikiwa nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi pointi moja mbele ya timu ambazo zipo kwenye hatari ya kushuka daraja.
Mechi ya mwisho kwa Mourinho ilikuwa ni Jumatatu iliyomalizika kwa Chelsea kupoteza mchezo huo kwa kufungwa bao 2-1 na Leicester City.
Pep Guardiola, Guus Hiddink, Brendan Rodgers na Junde Ramos wamekuwa wakitajwa kama makocha ambao wanaweza kuchukua nafasi ya Mourinho.
Ameiacha Chelsea pointi moja kutoka mstari wa kushuka daraja huku ikiwa imeachwa pointi 20 na vinara wa ligi hiyo Leicester City, huku kikosi hicho kikiwa hakina matumaini ya kumaliza ligi kikiwa ndani ya top four msimu huu kwa ajili ya kufuzu kushiriki michuano ya Champions League msimu ujao.
Hata hivyo, The Blues wamefanikiwa kupenya kwenye michuano ya Ulaya hatua ya 16 bora ambapo watakutana na mabingwa wa Ufaransa Paris St-Germain mwezi February na March 2016.
Mreno huyo pia ameshinda kombe la FA mwaka 2007 na akifanikiwa kutwaa kombe la ligi mara tatu mwaka 2005, 2007 na 2015.

Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agnes Masogange!

Wiki moja iliyopita, Mtanzania Agnes Masogange alikuwa topic kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya post yake kwenye Instagram kuzua mjadala na kuibua uvumi mkubwa sana kati yake na Davido staa wa muziki kutoka Nigeria… ambapo mitandao mingi ilidai kuwa Agnes ana ujauzito wa Davido! Je, taarifa hizi zina ukweli wowote?
maso4
Agnes Masogange.
Davido aliamua azungumze baada ya kuchoshwa na maneno yote yanyosemwa juu yake na Masogange kwenye tweets zake nane nilizofanikiwa kuzinasa kupitia page yake ya Twitter @iam_Davido.
maso2
Davido.
Haya ndio majibu ya Davido kuhusu uvumi wa Agnes Masogange kubeba ujauzito wake..
maso1
>>> “TBH sijali Blogs zinaandika nini Ukweli au Uongo lakini pale ambapo mtu ananipigia kutoka nchini nyingine analia… ” <<< @iam_Davido.
maso2
>>> “Kuhusu mchumba wake kuona taarifa za uongo na anakaribia kuondoka na kumuacha…” <<< @iam_Davido.
maso3
>>> “na machungu!! Haya ni maisha ya watu ambayo nyie watu mnayachezea, mpaka kitu cha ajabu kitokee ndipo watu watakapojiona wajinga…” <<< @iam_Davido.
maso4
>>> “Tafadhali acheni, hii sio haki kwa Agnes na mpenzi wake, waache waishi na kupata mtoto wao kwa amani… Smh” <<< @iam_Davido.
maso5
>>> “Nimetajwa kama miongoni mwa watu wenye ushawishi mkubwa kwa mwaka 2015 na FORBES AFRICA kwanini msiisambaze hii” <<< @iam_Davido.
maso6
>>> “Lakini taarifa yoyote mbaya mtaishambulia na kuiandika! Msinichukulie vibaya, kama ni taarifa za ukweli basi hakuna ubaya wowote… ” <<< @iam_Davido.
maso7
>>> “Lakini kwanini msambaze uongo!!! Tunaishi kwenye dunia iliyovurugwa!! Hii social media tunaitumia kwa level nyingine” <<< @iam_Davido.
maso8 
>>> “Siku moja mtakuja kuandika ujinga kuhusu mtu ambaye haiwezi hii presha na mtaona kitakachotokea!!!” <<< @iam_Davido.

Magazeti ya Tanzania December 18 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

.
.
.

.
.
.
.
.

.
DSC09988
.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

.
DSC00003
.

.

Wednesday, 16 December 2015

China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi..

Kumekuwa na ripoti mfululizo kuhusu ishu ya hali mbaya ya hewa iliyokumba nchi ya China ikafikia hatua mpaka baadhi ya viwanda vikalazimika kufungwa kwa muda.
CANISTER II
December 14 2015 nilikusogezea ripoti ya mgahawa mmoja China kuwatoza wateja wote kama Yuan 1 ambazo ni kama Tshs. 333 hivi kwa ajili ya kupata hewa safi ndani ya mgahawa huo, kama hukuipata unaweza kuicheki ukibonyeza hapa >>> Mgahawani
Leo nimeinasa ripoti CNN kwamba kuna kampuni moja ya Vitality Air ya Canada imeamua kutengeneza chupa zilizojazwa hewa safi ambazo zinasafirishwa na kwenda kuuzwa China.
Gharama ya chupa au kopo moja la hewa ni kati ya dola 14 mpaka 20 ikitegemeana na ujazo wa kopo lenyewe !!