







Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa
akimnadi kwa wananchi, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, Ikuo
Malila, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais hiyo,
uliofanyika kwenye Uwanja wa Kizwitwe, Sumbawanja Mjini, Sepremba 2,
2015.
No comments:
Post a Comment