Tangaza nasi DvJGaby.Blogspot,com

Tangaza nasi DvJGaby.Blogspot,com

Wednesday, 9 December 2015

Picha 24 za Team CloudsFM na wasanii wa bongofleva walivyofanya usafi soko la Tandale Dsm

IMG_8048
Rais Magufuli alikuwa na watu wa Feri kuhakikisha lile eneo la soko pale Feri panatakata, halafu Mama Samia Suluhu, DC Paul Makonda na wasanii wa Bongo Movie waliikamata mitaa ya Kinondoni, mzigo mwingine huu hapa wa Team Clouds FM na wasanii wa Bongo Fleva walivyowajibika kusafisha mitaa ya Tandale.
Kazi haikuwa ndogo, kuanzia sokoni, majumbani, mitaroni na kona nyingine za Tandale usafi umehusika.
IMG_8081
Team ya Clouds FM, Mbwiga mwenyewe, Musa Hussein na Da-Hu
IMG_8085
Kila mtu alianza kwa kukamata fagio ili twende sawa !!
IMG_8094
Ummy Kitwana na Mbwiga
IMG_8127
Husna Abdul wa Leo Tena akifanya Interview na msanii Tunda Man wa Tip Top connection
IMG_8128
Dj Bullah, Jose Mara, Mbwiga na Mussa Hussein
IMG_8131
Watu wa nguvu kazini
IMG_8185
Watangazaji Perfect Crispin (mwenye kofia ya bluu) Dee Andy kutoka XXL ya CloudsFM, Dj Bullah, Mahija Zayumba wa CloudsTV na watu wa nguvu wengine kwenye usafi soko la Tandale
IMG_8222
Msanii Tunda Man kwenye usafi
IMG_8236
Mrembo Tira wa CloudsFM na watu wengine wa nguvu kwenye kazi ya usafi
IMG_8257
Mwenye miwani ni Emmanuel Likuda wa Jahazi la CloudsFM
 IMG_8060 IMG_8086 IMG_8092 IMG_8122 IMG_8133 IMG_8140 IMG_8147 IMG_8151 IMG_8159 IMG_8164 IMG_8173 IMG_8191 IMG_8209

No comments:

Post a Comment